-Watu watano wameripotiwa kufariki baada ya kuhusika kwenye ajali mbaya katika barabara kuu ya Thika kuelekea Garissa
- Ripoti ziliarifu kuwa watano hao walifariki papo hapo huku wengine wakiohofiwa kufunikwa ndani ya basi baada ya kuanguka na kubiringika
Watu watano wameripotiwa kufariki papo hapo baada ya gari walimokuwa wakisafaria kuhusika kwenye ajali mbaya ya barabarani.
Habari Nyingine: Mvulana mchanga amwandikia mpenziwe barua ya mapenzi (picha)

Ajali hiyo inasemekana kufanyika Jumanne Disemba 26 katika barabara kuu ya Thika kuelekea Garissa.
Kulingana na shahidi,basi la kampuni ya Githurai liliaanguka na kubiringika katikati mwa barabara na kuwauwa watu 5 papo hapo huku wengine wakihofiwa kufunikwa ndani ya mabaki ya basi hilo.
Shughuli za kuwanusuri ziliendelea huku kukihofiwa kuwa huenda watu hao wakapoteza pia maisha yao.
Haari Nyingine: Pasta afumaniwa akila uroda na mke wa afisa wa polisi (habari kamili)

Zaidi ya watu 200 wameripotiwa kufariki mwezi Disemba pekee huku maafisa wa usalama barabarani wa shirila la NTSA wakiwarai madereva kuwa wangalifu.
Read ENGLISH VERSION
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke
Tazama habari zaidi kutoka hapa TUKO.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdia354fpVmrpqspWLEprrGoqWeZWVixKKywKugpKFdl66isMBmsJplm6q1tr%2FIpJhmo6eau7qxjJqhmqSZYrqjrdiaZLKZXZeus63BmqmappljtbW5yw%3D%3D