- Wanakandanda hutaka kustaafu na kukumbukwa kulingana na idadi ya timu walizochezea na vikombe walivyoshinda
- Kwa wachezaji hawa, majina yao hayatasahaulika
Ni jambo la kushangaza kuona Mwafrika akiwa katika orodha ya wanakandanda waliofanya vyema maishani.
Orodha ifuatayo ni ya wanasoka waliostaafu na wanaoendelea kuchezea timu tofauti na inazingatia idadi ya vikombe walivyo navyo kwa kuchezea timu zao na timu za kimataifa.
Habari Nyingine: Mkewe Alfred Mutua ashambuliana na mashabiki wake kwa kuvalia nguo za ‘aibu’
1.Hossam Hassan – vikombe 41 (alistaafu)-Huyu ni raia wa Misri, alichezea timu ya taifa na Al-Alhy na Zamalek.

2.Maxwell- vikombe 37 (alistaafu)-Raia wa Brazil aliyechezea vilabu vya Uropa vya Ajax, Barcelona, Inter Milan na PSG.

Pakua APP mpya ya TUKO upate habari BURE
3.Dani Alves-vikombe 36, alijiunga na PSG msimu huu na huenda akamshinda hata Hossam kwa idadi ya vikombe.

Habari Nyingine: Huu ndio ujumbe wa dadaye Uhuru kwa wanaopanga vurugu
4.Ryan Giggs-Vikombe 35 (mstaafu)-Mchezaji bora zaid wa Manchester United. Alistaafu misimu miwili iliyopita lakini ataishi kukumbukwa na mashabiki.

Habari Nyingine: Kati ya Uhuru, Ruto, Raila na Kalonzo - nani aliyesoma zaidi? Pata jibu
5.Zlatan Ibrahimovic-Vikombe 33, Zlatan amerudi United baada ya kuingia katika kandarasi ya mwaka mmoja na klabu hiyo. Zlatan ana miaka 36, na huenda hana wakati wa kutosha kuwa na vikombe vingi zaidi kuliko Giggs.

Subscribe to Tuko youtube channel to watch more interesting videos
Read ENGLISH VERSION
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke
Chanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdian91fZJmrpqmkaCur7DAp5uaZWVixKK4yKhkp5ldq7asu8ybnGaumaO0qnnZmqCdoV2quaq51p6loK2ennupwMyl